Mashabiki wa CDM wakishangilia ushindi Iyela, Mbeya |
HABARI MPYA: Hadi hivi inaonekana CHADEMA imeinyang’anya CCM viti kadhaa vya Udiwani na kutuma ujumbe kuwa ‘upepo umebadilika’. Baadhi ya Kata ambazo matokeo yake yameshajulikana ni kama hivi:
1. Makuyuni, Monduli (ARUSHA) – CCM
2. Minepa, Ulanga (MOROGORO) – CCM
3. Bashnet, Babati (MANYARA)- CHADEMA
4. Nyampulikano, Sengerema (MWANZA) – CHADEMA
5. Masanze, Kilosa (MOROGORO) – CCM
6. Ifakara, Ifakara (MOROGORO) – CCM
7. Tingeni, Muheza (TANGA) – CCM
8. Genge, Muheza (TANGA) – CCM
9. Iyela, Mbeya (MBEYA) – CHADEMA
10. Iseke, Singida (SINGIDA) – CCM
11. Manchira, Serengeti (MARA) – CCM
12.
ITAENDELEA..............