MVUA MKUBWA ILIYONYESHA LEO JIJINI DAR YALETA USUMBUFU WA HALI YA JUU KWA WAKAZI WA KIMARA KILUNGURE MARA BAADA YA DARAJA KUFUNIKWA NA MAJI


Wakazi wa Kimara Kilungure wakiwa wametaharuki baada ya kukosa jinsi ya kuvuka daraja ambalo limefunikwa na maji yaliyosababishwa na Mvua Kali iliyonyesha leo Katika Jiji la Dar na kupelekea kuleta adha kwa watumiaji wa barabara hiyo huko Kimara Kilungure
Daraja lililopo Kimara kilungure likiwa limefunikwa na maji yaliyosababishwa na Mvua Kali iliyonyesha Jijini Dar mapema leo na kupelekea kuleta adha kwa watumiaji wa barabara hiyo na daraja huku wakazi maeneo hayo wakiwa wamesimama kwa kushindwa kuvuka kwa kuogopa kupoteza mali pamoja na maisha yao kutokana na maji kufunika daraja.