WASHINDI WA TUNZO(AWARDS)KILIMANJARO MUSIC AWARDS- KTMA 2013



Usiku wa tuzo za KTMA ulipambwa na burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii mbalimbali wakiwemo Linah, Amini, Richie Mavoko, Mataluma, Hussein Jumbe, Zahir Zorro, Patricia Hillary na Barnaba. Wengine ni Snura, Godzilla, Mabeste, Madee na Afande Sele.


Host wa tuzo hizo mwaka huu alikuwa ni Zembwele na TJ.


Hii ni list nzima ya tuzo hizo.


Wimbo bora wa mwaka
Dear God – Kala Jeremiah

Msanii bora wa Kiume
Diamond


Msanii bora wa kike 
Lady Jaydee


Msanii bora wa kike Taarab
Isha Mashauzi


Msanii bora wa kiume Taarab
Mzee Yusuf


Msanii bora wa kiume Bongo Flava
Diamond

Msanii bora wa kike Bongo Flava 
Recho


Msanii bora wa Hip Hop
Kala Jeremiah


Msanii bora wa kiume Bendi
Chalz Baba


Msanii bora wa kike Bendi
Luiza Mbutu


Msanii bora anayechipukia
Ally Nipishe


Video bora ya mwaka
Baadaye – Ommy Dimpoz


Mtunzi bora wa mashairi Taarab
Mzee Yusuf


Mtunzi bora wa mashairi Bongo Flava
Ben Pol

Mtunzi bora wa mashairi hip hop 
Kala Jeremiah


Mtunzi bora wa mashairi Bendi
Chalz Baba


Mtayarishaji bora wa mashairi muziki wa kizazi kipya
Man Walter


Mtayarishaji wa wimbo wa mwaka – Taarab
Enrico


Mtayarishaji wa wimbo mwaka – Bendi
Amoroso


Mtayarishaji chipukizi wa mwaka
Mesen Selekta


Rapper bora wa bendi
Fagasoni


Wimbo bora wenye vionjo vya asili
Chocheeni Kuni – Mrisho Mpoto ft Ditto


Wimbo bora wa bendi
Risasi Kidole – Mashujaa Band


Wimbo bora wa Reggae
Kilimanjaro – Warriors from The East


Wimbo bora wa Afrika Mashariki
Valu Valu – Jose Chameleone


Wimbo bora wa Bongo Pop
Me an You – Ommy Dimpoz ft Vanessa Mdee


Wimbo bora wa kushirikiana/Kushirikishwa
Me and You – Ommy Dimpoz ft Vanessa Mdee

Wimbo bora wa Hip Hop
Nasema Nao – Nay wa Mitego


Wimbo bora wa rnb
Kuwa na Subira – Rama Dee ft. Mapacha


Wimbo bora wa ragga/ dancehall
Predator – Dabo

Wimbo bora wa Taarab 
Mjini Chuo Kikuu – Khadija Kopa


Wimbo bora wa zouk rhumba 
Ni wewe – Amini


Bendi bora ya mwaka
Mashujaa Band

Kikundi bora cha Taarab 
Jahazi Modern Taarab


Kikundi bora cha muziki wa Kizazi kipya
Jambo Squad


Hall of Fame – Institution
Kilimanjaro Band wana Njenje


Hall of Fame – Individual
Salum Abdallah