Ajali; Simulizi ya aliyenusurika kifo kutoka ghorofa ya 15


Rais Kikwete na Mkewe, Mama Salma Kikwete wakimpa pole Yusuph Abdallah katika Hospitali ya Muhimbili walipotembelea majeruhi wa ajali ya kuporomoka jengo la ghorofa 16. Picha na Muhidin Michuzi 

Dar es Salaam. Fundi ujenzi, Yusuph Abdallah ambaye amelazwa katika Taasisi ya Mifupa (Moi), ameeleza jinsi alivyonusurika kifo baada ya jengo la ghorofa 16 kuporomoka Ijumaa iliyopita.

Yusuph aliliambia Mwananchi akiwa wodini kwamba kilichomponya ni neema za Mungu kwani kabla jengo hilo kuporomoka yeye alikuwa ghorofa ya 15 kwenye jengo hilo katika Mtaa wa Indira Gandhi akiendelea na ujenzi.
Alieleza kuwa hakuwa anafahamu kinachoendelea, bali aliona ghafla jengo linaaanza kuporomoka, na baada ya hapo hakufahamu zaidi kilichotokea hadi alipojikuta yuko hospitalini.
“Kweli jengo lilipoanza kuporomoka sikutambua nini kinachoendelea kwani nilipoteza fahamu na kujikuta nipo hapa Muhimbili,” anasimulia Abdallah.
Alisema anahisi alipoanguka alifunikwa na kifusi kilichomponda na kuvunja miguu yote.
Fundi huyo ambaye amefungwa plasta gumu (P.O.P) miguu yote, alisema hakuweza kuona watu waliomwokoa.

Mwingine aokolewa na mkewe

Mkazi wa Ubungo, Ally Mlela ambaye ni fundi madirisha anasimulia jinsi mke wake alivyomwokoa katika ajali hiyo baada ya kumtaka asiende kufanya kazi siku hiyo.
Akisimulia jinsi ilivyokuwa Mlela anasema siku ya tukio aliwasiliana na rafiki yake ambaye amepoteza maisha katika ajali hiyo na kumtaka aende akaonane na mkandarasi wa jengo hilo, ili ampe kazi ya kuweka madirisha.
“Majira ya asubuhi kati ya saa mbili na saa tatu hivi nilipokea simu kutoka kwa rafiki yangu jina maarufu anajulikana kama Tafu, ambapo alinitaka niende nikaonane na mkandarasi wa jengo hilo ili anipe kazi ya kuweka madirisha,” anasema Mlela.
Anasema wakati akijiandaa kutoka mke wake alimwambia siku hiyo apumzike asiende kufanya kazi naye akakubali, lakini haikupita muda mrefu mke wake alimfuata na kumuuliza amesikia taarifa kwamba kuna jengo limedondoka?
“Niliamua kwenda katika eneo la tukio na ndipo alipogundua kwamba eneo hilo ndiyo alipotakiwa kwenda kufanya kazi. Wakati juhudi za uokoaji zikiendelea nilijaribu tena kumpigia simu rafiki yangu.Nikiwa bado kwenye eneo la tukio ghafla nikaona mguu ukitolewa kwenye mchanga na nilitambua ulikuwa mguu wa rafiki yangu baada ya kuona kiatu chake.”

JK awatembelea majeruhi

Rais Jakaya Kikwete jana aliwatembelea majeruhi wa ajali hiyo ambao wamelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili na kuwapa pole.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa Tiba wa Taasisi ya Mifupa (Moi), Dk Cuthbert Mcharo alisema walipokea majeruhi sita na hadi jana walikuwa wamebakia wanne.

Miili zaidi yapatikana

Katika hatua nyingine kikosi cha uokoaji jana kilipata miili ya watu saba iliyopatikana. Mmoja kati ya miili hiyo baada ya kuuchunguza, ulikutwa na kitambulisho cha kupigia kura kinachomtambulisha kwa jina la Salumu Mwaliko kutoka Kijiji cha Kwadeboma, Handeni mkoani Tanga.
Hatua hiyo inafanya idadi ya watu waliopoteza maisha katika maafa hayo kufikia 31.

NHC kugharimia majeruhi, mazishi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick alisema amepokea taarifa kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu kwamba kuna majengo matatu ya ghorofa ambayo yanatakiwa kubomolewa kutokana na kuchakaa. Mbali na hilo, Mkuu wa Mkoa amesema Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linatakiwa kulipa gharama zote za watu walioathirika na ajali ya Ijumaa iliyopita.
Alisema NHC wanapaswa kuwahudumia majeruhi wote pamoja na kugharimia mazishi ya watu waliopoteza maisha.

ISOME HAPA SPEECH YA RAILLA ODINGA BAADA YA MAAMUZI YA MAHAKAMA YA JUU KENYA



30th March, 2013

Fellow Kenyans,

Members of the media,

Ladies and gentlemen,

Good afternoon,

You will recall that on 9th March 2013, I issued a statement on the conduct of the elections which had just been concluded. 

I expressed my deep gratitude to all Kenyans who had turned out massively to exercise their democratic rights to vote and elect their leaders.

I however expressed my dismay that contrary to the expectations of Kenyans, we witnessed the failure of virtually every instrument the IEBC had deployed to ensure free, fair and transparent elections.

I outlined such failures, with concrete examples of the anomalies that all of us witnessed. It was clear that the constitutionally sanctioned process of electing new leaders had been thwarted again by another tainted election. Democracy was on trial in Kenya.

But that has not dented my commitment to constitutionalism and the rule of law.

Enforcing the spirit and letter of the constitution remains the only sure way to peace and prosperity for our young democracy.

My decision to file a petition in the Supreme Court to challenge the validity of the election was a testament of my faith in the independence of our judiciary.

We did so for the sake of our democracy and for the sake of all Kenyans who wanted to exercise their constitutional right to elect their leaders through free and fair election.

We were joined in this endeavour by Africog, which separately filed a petition seeking to nullify the fourth of March Presidential election.


This proves that my petition had nothing to do with personal grudge as contended by the IEBC, Hon Uhuru Kenyatta and Hon William Ruto.

In the petition, I expressed our belief that the court would uphold the letter and spirit of our constitution. I pledged to abide by the court decision.

We prosecuted the case to the best of our ability.

Our legal team, led by Senior Counsel George Oraro compiled formidable and logical evidence showing that massive malpractices occurred during the elections.

We unearthed evidence of technology failure that required a full audit, inappropriate conduct on the part of IEBC staff, irregular and unethical arrangements such as the sharing of servers by IEBC with a competitor and unmarked registers.

We regret that the court disallowed evidence on the grounds that it was either filed late or the court did not have time to inquire into these discrepancies. In the end, Kenyans lost their right to know what indeed happened.

Ladies and gentlemen, 

The court has now spoken. Article 140 of our constitution states that “the Supreme Court shall hear and determine the petition and its decision is final.”

Although we may not agree with some of its findings, and despite all the anomalies we have pointed out, our belief in constitutionalism remains supreme. 

Casting doubt on the judgment of the court could lead to higher political and economic uncertainty, and make it more difficult for our country to move forward.

We must soldier on in our resolve to reform our politics and institutions. Respect for the supremacy of the constitution in resolving disputes between fellow citizens is the surest foundation of our democratic society.

And the courts should always act within the evolving constitutional culture.

I and my brother and running mate Hon Kalonzo have no regrets for taking our case to court.

Indeed, it is our view that this court process is yet another milestone in our long road towards democracy for which we have fought so long.

Truth, justice and the faithful implementation of the constitution is our best guarantee to peace and security.

Ladies and gentlemen,

It is my hope that the incoming government will have fidelity to our constitution, and implement it to the letter for the betterment of our people. I wish president –elect Uhuru Kenyatta and deputy President elect William Ruto best of luck in this endeavour.

I also wish all the Senators, Members of Parliament, Women Representatives, Governors and others who were elected in the last election success in discharging the expectations of our people.

I want to thank Senior Counsel George Oraro and the members of his legal team for their hard work and devotion in the quest for justice. I would also like to pay special tribute to the Africog legal team led by Kethi Kilonzo for their immense contribution to the rule of law and democracy.

To the Kenyans who supported us and our petition, I want to assure you that I will continue to work for you and with you to build our county, Kenya, and to help you achieve your dreams.

My actions have always been guided by my desire to bring about a better life for all Kenyans, particularly those who are less privileged. The future of Kenya is bright. Let us not allow the elections to divide us. Let us re-unite as a Nation.

Finally, I call on all Kenyans– our supporters and opponents alike – to remember the sacred words of our National Anthem: Justice be our shield and defender;

Thank You and God Bless Kenya.

ICHEKI PICHA YA MUUWAJI WA PADRE ZANZIBAR



 Hapo ndio tujue kuwa wenzetu hawabahatishi na hawana siasa kwenye kazi zao proffessional....kazi kweli kweli!!wamehadithiwa tu wamemchora mtu yule yule!!Angalia Mchoro wa Polisi Hapo chini na Ufananishe na mtu Huyu..


Mchoro Uliyotumika Kumpata Muuaji
Source:Jamii Forums

Bashe anusurika kutekwa



Ofisa Mtendaji Mkuu wa New Habari (2006) Ltd
WIMBI la viongozi wakuu wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, kuendelea kuwindwa na watu wasiofahamika, limeendelea kushika kasi, baada ya usiku wa kumkia jana, Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo, Hussein Bashe, kunusurika kutekwa. Tukio hilo, lilitokea juzi usiku wakati Bashe alipokuwa akitoka ofisini kwake Sinza Kijiweni, akielekea nyumbani kwake Mbezi.

Akizungumzia tukio hilo, Bashe alisema wakati anaondoka ofisini kwake kwa gari lake, alianza kufuatiliwa kwa nyuma na magari mawili, likiwamo aina ya NOA ambalo hata hivyo hakufanikiwa kujua lilikuwa na watu wangapi.

“Kama kawaida nilishinda ofisini kwa ajili ya majukumu yangu ya kazi na muda wa kutoka ulipowadia, niliondoka kurudi nyumbani.

“Awali wakati navuka geti la pale ofisini, sikuwa na shaka yoyote, lakini kadri nilivyozidi kuendelea na safari yangu, niliona nyuma nafuatiliwa na magari mawili ambayo yalikuwa yakiendeshwa kwa tahadhari.

“Nilipofika Mwenge ile NOA ilikuwa bado iko nyuma yangu, sasa nikaanza kupatwa na wasiwasi, nikajua hapa kuna jambo.

“Moyoni niliendelea kumuomba Mungu, huku nikijiuliza maswali mengi hawa jamaa ni akina nani, kwa kweli sikupata jibu zuri.

“Nilipofika Mbezi, niliona yale magari yanazidi kunisogelea, kwa hiyo, nikaamua kuongeza kasi na wao wakazidi kuja tu.

“Wakati niko Mbezi jirani na njia panda ya kwenda kwangu, gari moja lilinipita kwa kasi na kuendelea mbele.

“Unajua kuelekea kwangu pale kuna barabara kama tatu ambazo zote unaweza kuzitumia na zikakufikisha hadi nyumbani kwangu,” alisema Bashe na kuongeza:

“Nilichokifanya nilipita barabara ya kwanza na wao wakapita barabara ya pili na ghafla nilikutana nao uso kwa uso, wakati huo naelekea kwangu na kibaya zaidi, gari lao walizima taa kubwa na kuacha ndogo.

“Walivyona gari langu, walinipiga taa kuashiria wanakata kona, lakini cha ajabu walinifuata nyuma na hapo nikaanza kujua sasa nafuatiliwa.

“Nilichokifanya sikwenda nyumbani moja kwa moja, bali niliamua kupaki gari kwenye grosari moja iliyoko jirani na kwangu.

“Baadaye niliamua kuondoka ili niwazunguke kwa nyuma nisome namba za gari lao, lakini sikufanikiwa kwa sababu taa za nyuma zilikuwa zimezimwa,” alisema Bashe.

Kwa mujibu wa Bashe, baadaye aliingia nyumbani kwake na kuwakuta wageni ambao alikaa nao hadi saa sita usiku baada ya kuwasimulia tukio lilivyokuwa.

“Sasa basi, wakati jamaa zangu hao wanaondoka kurudi kwao, walikuta lile gari pale pale njiani, wakanipigia simu, kwamba lile gari nililowasimulia linawafuatilia.

“Nikawaambia wageuze gari lao ili wasome namba, lakini hawakufanikiwa hata kidogo kwa sababu wale jamaa walishtuka na kuamua kutimua.

“Kwa hiyo, nilichokifanya nilikwenda pale Polisi Kawe na kutoa taarifa ambapo nilipewa RB yenye namba KW/RB/2899/2013,” alisema.

Machi 6, mwaka huu, Mhariri Mtendaji Mkuu wa New Habari (2006) Ltd, Absalom Kibanda, alitekwa na kuteswa na watu wasiofahamika.

Katika tukio hilo, Kibanda alitobolewa jicho la kushoto, alipigwa kichwani na kitu chenye ncha kali na kunyofolewa kucha. Kwa sasa yuko nchini Afrika Kusini ambako anaendelea na matibabu.

Zitto Kabwe Akanusha Kuhusu Habari iliyoandikwa na Mtanzania Leo Kuhusu Njama za Kumuua


KATIKA gazeti la Mtanzania toleo na. 7269 la Jumatano Machi 27, 2013 kuna habari yenye kichwa chenye maneno ‘SIRI YA KUUWAWA ZITTO YAFICHUKA’ na vichwa vidogo ‘yadaiwa ilipangwa anyweshwe sumu hotelini’ Dk. Slaa atajwa kumtuma Saanane kummaliza’. Habari hii imeniletea usumbufu mkubwa kwani ndugu, jamaa, marafiki na wapiga kura wangu, wamejazwa na wasiwasi mkubwa sana kwamba ninaweza kuuwawa.

Napenda kusema yafuatayo:
Moja, sijawahi katika maisha yangu yote kukutana na mtu anayeitwa Ben Saanane na hivyo hicho kikao ambacho inasemekana nilikuwa naye na akajaribu kunipa sumu hakijawahi kutokea. Imetajwa Hoteli ya Lunch Time ambayo sio tu sijawahi kufika, pia hata siijui ipo wapi. Haijawahi kutokea mimi kufanya kikao cha pamoja na Ben Saanane, Juliana Shonza na Mtela Mwampamba. Hivyo habari iliyoandikwa ni ya kufikirika na hivyo naomba mwandishi ahakikishe kuwa vyanzo vyake vya habari vimempa habari sahihi.

Pili, Siamini kamwe kuwa Katibu Mkuu wa chama changu anaweza kupanga kuniua maana hana sababu ya kufanya hivyo. Napenda kurudia kusema kwamba mimi ninaamini kuwa kila nafsi itaonja mauti. Kila mtu atakufa. Kama nitakufa kwa kuuwawa na mtu mwingine ndio itakuwa nimeandikiwa hivyo na Mungu. Ndio maana hata siku moja silalamiki kuhusu vitisho vya kuuwawa nk. Kama kuna mtu anafikiria kuwa kumuua Zitto ndio furaha ya maisha yake atakuwa anajidanganya tu maana Zitto anaweza kufa kimwili lakini mawazo, fikra na maono ya Zitto yataishi tu. Siogopi kufa maana maisha niliyoyachagua ndio haya ambayo yamejaa vitisho. Muhimu kwangu ni kufanya kazi zangu kwa bidii, uhodari na uaminifu. Siku zote nitasimamia ukweli bila kujali uchungu wa ukweli huo.

Tatu, nawashauri watu ambao wamehama CHADEMA na kuhamia vyama vingine watumie muda wao kujenga vyama vyao badala ya kila siku kuzungumzia masuala ya chama ambacho wao sio wanachama tena. Kama mtu kaamua kuhama CHADEMA anapoteza haki ya kujadili masuala ya CHADEMA maana kama angekuwa anapenda kuyajadili asingehama. Naonya mtu yeyote ambaye anatumia jina langu ili kufanikisha malengo yake ya kisiasa. CHADEMA sio pango la watesaji wala wauaji. Kama kuna mwanachama wa chama kingine cha siasa anayedhani kuna mtu ndani ya CHADEMA anapanga mipango ovu aende kwenye vyombo vya sheria kumshtaki. Matendo ya mtu mmoja yasifanyiwe propaganda kama ni malengo ya taasisi.

Nne, Nawashauri viongozi wenzangu wa CHADEMA na hasa wanachama tutumie muda wetu kujenga mshikamano ndani ya chama. Fitna, majungu, uongo, uzandiki nk kamwe havijengi chama. Chama chetu lazima kiwe mfano bora wa kuheshimu demokrasia na haki za binaadamu. Wananchi hawawezi kutoa dola kwa chama chenye mifarakano. Tusiruhusu kugawanywa kwa matakwa ya watu wachache. Tusimamie misingi ya kuanzishwa chama chetu.

Imetolewa na Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Tanzania Bara,

Mh. Zitto Z Kabwe

Source:Global Publisher

MWANAFUNZI WA CHUO KUKUU DA ES SALAAM AJINYONGA


Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mwaka wa pili Kitivo cha Sheria, Joseph Bernadina (25), amejinyonga kwa kutumia kamba na kukutwa ameifunga juu ya mti, katika eneo la Yombo chuoni hapo.

Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Utawala, Profesa Yunus Mgaya, alithibitisha  kutokea kwa tukio hilo na kwamba alipata taarifa hizo jana asubuhi.

Aliongeza kuwa Jumamosi iliyopita alipokea simu kutoka kituo cha polisi cha chuo hicho akielezwa kuwa kuna mwanafunzi alitishia kujiua, lakini aliwahishwa hospitali na kupatiwa ushauri kutoka kitengo maalum cha washauri wa chuoni hapo na kuruhusiwa Jumapili.

“Nilikuja tena kushituka leo asubuhi napokea simu kutoka kwa mshauri wa wanafunzi kuwa kuna wanausalama wamemkuta mwanafunzi akiwa amejinyonga juu ya mti huku akiwa na karatasi kwenye mfuko wa sharti ikimtambulisha pamoja na ujumbe uliosema, kifo chake kisihusishwe na mtu yeyote kwani amejiua kwa ridhaa yake --asisumbuliwe mtu yeyote kwani nimefanya hivi kwa maamuzi yangu mwenyewe pia nizikwe kwetu--” alisema.

Profesa Mgaya alisema taratibu za mazishi zinaendelea kufanywa na Uongozi wa chuo kwa kushirikiana na ndugu wa marehemu na kwamba Chuo kitagharamia kuusafirisha mwili kama alivyoomba katika ujumbe aliouacha wa kupelekwa wilayani Ludewa Mkoa wa Iringa.

Naye rafiki wa marehemu, Daniel Mwamlima, alisema marehemu hakuwahi kuzungumza chochote kilichoashiria kuwa ana matatizo wala mgogoro na mtu yeyote.  Alisema walimuacha hospitalini Jumamosi na kesho yake kumchukua, lakini  baadaye aliwatoroka.

“Sasa leo (jana) asubuhi tulipata taarifa za mwanafunzi kujinyonga mbaya zaidi tukakuta ni yeye,” alisema Mwamlima.

Waziri Mkuu wa Serikali ya Wanafunzi wa chuo hicho (DARUSO), Yasini Athumani, alisema wamezipokea taarifa hizo kwa masikitiko makubwa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela, alithibitisha kutokea kwa tukio na alisema uchunguzi wa awali umebaini kwamba marehemu aliwahi kuwa na historia ya kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kupata matibabu ya ugonjwa wa msongo wa mawazo

Mahakama yaamuru matokeo ya urais Kenya yachunguzwe


Nairobi. Mahakama ya Juu (Supreme Court) ya nchini Kenya imeagiza kuchunguzwa kwa fomu 34 za matokeo ya uchaguzi wa rais kutoka katika vituo vyote 34,400, vilivyotumika kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo uliofanyika Machi 4, mwaka huu.


Kadhalika mahakama hiyo jana iliagiza kuhesabiwa upya kwa kura za urais katika vituo vya kupigia kura 22 kati ya elfu 33 vilivyolalamikiwa na aliyekuwa mgombea urais wa Muungano wa Cord, Raila Odinga.


Katika malalamiko yake yaliyowasilishwa katika mahakama hiyo kupinga Uhuru Kenyatta kutangazwa mshindi wa urais katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Machi 4, Odinga alidai kuwa vituo hivyo 22 kura zilizopigwa zinazidi idadi ya wapigakura walioandikishwa.


Akisoma uamuzi huo kwa niaba ya majaji wenzake watano, Jaji Smokin Wanjala alisema kwamba uhesabuji kura wa vituo hivyo utafanyika leo kuanzia saa 2.00 asubuhi kwa lengo la kubaini ukweli kuhusu madai hayo.


“Matokeo ya kura zitakazohesabiwa katika vituo hivyo 22 yawasilishwe katika mahakama hii Jumatano, saa 10.00 jioni,” alisema Jaji Wanjala.
Kikao hicho, ambacho Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande amealikwa kama mwangalizi, ni cha awali kabla ya kesi hiyo kuanza kusikilizwa rasmi keshokutwa (Alhamisi) na kuendelea kwa mfululizo hadi kufikia uamuzi ikiwa madhumuni yake.


Lengo ni kupitia madai yaliyowasilishwa mahakamani hapo na pande zote zinazohusika na kuamua mwenendo wa kesi utakavyofanyika.

Source:Mwananchi

The Top 10 Celebrities With The Biggest Boobs



Soft, supple and natural…these are adjectives coveted for one, or two, of a woman’s most valuable assets. While the advent of silicon surgery has helped some enhance the size of their breasts, there is still no substitute for the real thing. They just bounce around much better than anything that plastic surgery can provide.

So which female actresses, models or singers have the nicest rack? Which of them do men ogle at the most? Here is a list of the top ten celebrities with the biggest boobs.
1. Tyra Banks



Tyra Banks is a supermodel that achieved fame after being featured twice on the cover of Sports Illustrated magazine’s swimsuit edition. She was also one of the original angels of the lingerie brand Victoria’s Secret. She once had her own talk show entitled The Tyra Banks Show, before moving up to creating other shows like America’s Next Top Model and True Beauty. She once underwent a sonogram just to prove that her breasts are all natural.
2. Brooklyn Decker



Brooklyn Decker once had problems with her large breasts, as the fashion industry was not really keen on girls with big boobs. Decker persisted, however, and eventually graced the cover of Sports Illustrated magazine’s 2010 swimsuit edition. Her voluptuousness was highlighted when she made her film debut in the Adam Sandler starrer entitled Just Go With It. She is now married to the former tennis star Andy Roddick. She is also slowly making a transition to acting, appearing in a number of movies and television series.
3. Salma Hayek



From her Hollywood debut Desperado to her critically acclaimed role in Frida, Salma Hayek has always been the object of man’s desire. The Mexican actress has retained a great set of breasts despite the fact that she is advancing in her years. She even got the Best Breasts award in the 2007 Anatomy Awards. All these come from a woman who once had to pray to God to give her even just a decent of knockers to match those of her classmates.
4. Christina Hendricks



Esquire Magazine once adjudged her the sexiest woman in the world based on a poll of its female readers. When you get that kind of accolade even from fellow women, then you surely have got it made. Hendricks is known for her role in the critically acclaimed television series Mad Men. With boobs like hers, it is easy to see why men would go mad about her.
5. Jennifer Love Hewitt



We saw Jennifer Love Hewitt grow up, from the time she was in Kids Incorporated, to the time she became a teenager in Party of Five. She then appeared in thrillers like I Know What You Did Last Summer and its sequel. During that time, Hewitt grew up and her breasts blew up. How large did it get? Well, while other celebrities are aching to get a boob job to enhance their assets and marketability, Hewitt’s breasts actually had to be altered to make it look smaller. Yes, producers had to make her boobs smaller. This happened in the promotional stills for the television show The Client List. Thankfully, the alteration was done digitally and not physically.
6. Scarlett Johansson



One of Hollywood’s sex symbols, Johansson’s boobs are often overlooked by her acting talent. She has proven to be talented and bankable, with nominations for her performances in Lost in Translation, The Girl with a Pearl Earring, and A Love Song for Bobby Long, as well as significant roles in blockbusters like Iron Man 2 and The Avengers. She can also sing, with two albums already to her name. And she has also taken theater by storm, winning a Tony Award as the Best Performance by a Featured Actress in a Play. Johansson has also become sort of a muse for noted director Woody Allen, appearing in three of his movies, namely Match Point, Scoop, and Vicky Cristina Barcelona. With her talent, looks and boobs, who could blame Allen if he wants Johansson to appear in all his movies for the rest of her life?
7. Kim Kardashian



She owns an amazing fleet of cars and a humongous butt. What better way to top it off than by having a nice pair of boobs as well? Kim Kardashian shot to fame when her sex tape with her a boyfriend leaked to the public. It was not really a setback, as she ended up getting several million dollars for it. She has since featured in a reality show with the rest of her family entitled Keeping Up with the Kardashians. A short lived marriage with Kris Humphries, a professional basketball player, was followed by a relationship with one of the more famous singers in Kanye West. Through it all, she has not been afraid to flaunt her assets, often showing her cleavage to an adoring male population.
8. Katy Perry



She sought divine intervention for her breasts, and she got her prayers answered several times over. The singer, known for her sexy looks and playful songs like Hot and Cold, California Gurls, Firework, Teenage Dream, and I Kissed a Girl, owns an amazing pair of boobs that she bounces around during her concerts. She holds the record for the most number of consecutive weeks in the top ten, spending 69 weeks straight for various songs. This California girl is certainly every teenager’s dream.
9. Jessica Simpson



Simpson runs a billion dollar empire from her line of fashion and accessories, showing that she has the brain and the business cunning and proving that she has much more than just her big boobs. Apart from her business empire, Simpson has had hit records, a successful reality television show and mildly decent films.
10. Sofia Vergara



This Columbian bombshell is known for her turn as Gloria in the hit series Modern Family. And what man would not fall in love with a funny girl with great boobs? She has been called the most desirable woman in the world, thanks to her comedic chops and her generous breasts.
Share With Friends

The Top 10 Most Expensive Cell Phones

The Top 10 Most Expensive Cell Phones

Whether you call it a cellular phone, hand phone, mobile phone or smart phone, can you just imagine a world without it? It has become a standard part of our life. And it has actually become more than just a telephone. It is also used for instant text messaging, as a music player, camera, and for browsing through the net. A lot of other gadgets have become obsolete because of it. Because of advances in mobile phone technology, no one uses payphones anymore. MP3 music players are also slowly going out of style, as smart phones have proven more than reliable in serving as replacement.

Even cameras may soon see a decline in usage. This early, creators of point and shoot cameras are announcing the rapid decrease in sales and profits because of the advent of new phones. The mobile phones have the advantage of having the pictures taken with it immediately uploaded to the user’s social media accounts. As a result, camera makers are scrambling to include similar technology in their gadgets. As of now, digital single lens reflex cameras seem to be safe. It won’t come as a surprise, however, if mobile phones eventually replace them as well.

Mobile phones have actually been around since 1946, though the first call from a hand held mobile phone was only made in 1973. The first automated cellular network was launched in Japan in 1979. By 1983, development of the mobile was in full swing with the launching of the DynaTac on a 1G network. Second generation technology was established in 1991, with the third generation being launched ten years later. The introduction of applications, like streaming media, has overwhelmed 3G, however. Fourth generation technology that promises improvement in speed of up to ten times that of 3G have since been introduced.

It is clear that mobile phones are important to us. A lot of us consider them to be an integral part of our lives, so much so that we feel naked and helpless without them.

But how dear and expensive can they get?

Here are the top ten most expensive mobile phones.
1. Stuart Hughes’ iPhone Diamond Rose Edition – $8 million



it has all the features of the iPhone that we all love, only it is also studded with flawless diamonds that weigh 100 carats. The presence of 53 diamonds encrusted on top of it also enhances the iconic Apple logo. As if those are not enough, a rare 7.4 carat pink diamond serves as the home button of the phone.
2. Stuart Hughes’ Goldstriker iPhone 3G Supreme – $3.2 million



Stuart Hughes also created this iPhone that is made of solid gold. He and his design partner Jo Emma Larvin are the people behind Goldstriker. Their idea is to create products in which luxury can be combined with technology. This phone also has more than 200 diamonds in it. The phone’s panel at the back has 53 gems encrusted into it, while the home button is covered with a diamond weighing 7.1 carats.
3. Peter Alloison’s Kings Button iPhone – $2.4 million



Peter Alloison is a renowned designer of jewelries from Austria. There are 138 diamonds encrusted into the body of this phone. There is also a 6.6 carat white diamond on the home button, which enhances the class of the phone.
4. JSC Ancort’s Diamond Crypto Smart Phone – $1.3 million



JSC Ancort is a Russian company that developed a smart phone based on Windows CE. It is encrusted with 50 diamonds, including 10 that are blue. It is called Crypto because of it employs a powerful encryption technology. It supposedly gives protection against kidnapping and technological blackmail. Peter Alloison was the designer of this phone.
5. Goldvish’s Le Million – $1.2 million



Goldvish is a Swiss manufacturer of top of the line and premium luxury cellular phones. The company prides itself in applying Swiss craftsmanship to high-end technology. It is the creator of the Le Million, which has a guaranteed limited production of only three units. The phone is made of solid gold and is studded with diamonds.
6. Gresso Luxor Las Vegas Jackpot – $1 million



Gresso is a manufacturer of luxury communication gadgets. It was established in 2005 in Switzerland. Only three units of this phone were ever made. Its frame is made of solid gold weighing 180 grams. The panel at the back is made of African backwood that is more than 200 years old. This wood is the most expensive in the world. There are also black diamonds encrusted on the phone weighing 45.5 carats. To top it off, the keys are made of sapphire crystal specially hand-polished by the manufacturer.
7. Vertu Signature Cobra – $310,000



The French jeweler called Boucheron created this phone. Only eight units have been made, making the phone a true limited edition. It features a couple of diamonds, dual emeralds, and 439 rubies that are encrusted to make it look like a cobra.
8. Sony Ericsson Black Diamond – $300,000



Jaren Goh, an industrial designer from Singapore, created this stylish concept for Sony Ericsson. It features a polycarbonate mirror finish, mirror detailing and organic light emitting diode technology. This feature makes the screen look borderless, thus providing a sleek and neat appearance.
9. Peter Alloison’s Nokia Arte – $134,000



The features of a Nokia Arte are top of the line already, with its 3.15 megapixel autofocus camera, video recorder, music player and Bluetooth technology. Peter Alloison enhanced it further by encrusting 680 pink and white diamonds. The phone itself is made of solid white gold weighing 18 carats.
10. Ulysse Nardin’s The Chairman – $49,500



Ulysse Nardin is a Swiss watch manufacturer that has been around since 1846. The company set off to design an Android smartphone, taking its sophisticated design principles along with them. The phone features both a physical number pad and a touch screen. Volume controls are designed like the buttons of an expensive watch. A unique feature is the crown between the volume controls that can actually be wind to help generate power for the phone.
Share With Friends

"SIKUONA HAJA YA KUFIKIRIA MARA MBILI KUMSAIDIA KAJALA MILIONI 13 ILI ATOKE SEGEREA"...WEMA SEPETU AFUNGUKA


Mrembo Wema Sepetu leo amemake headline baada ya kutoa mfukoni mwake shilingi milioni 13 kulipa faini aliyopigwa muigizaji mwenzie Kajala Masanja aliyehukumiwa leo kwenda jela miaka mitano ama kulipa kiasi hicho cha fedha.
Kajala na Wema wakikumbatianaKajala na Wema wakikumbatiana
Akiongea  kwa  kujiamini, Wema amesema hakufikiria mara mbili kutoa kiasi hicho cha fedha.

“Kusema kweli wanasemaga kwamba kutoa ni moyo so naamini what I did is best, nimetoa kwasababu I had to do it and sikuthink twice kuhusu kufanya hivyo,” amesema Wema.
Wema akwa na KajalaWema akwa na Kajala
“Nimefanya kama namsaidia rafiki yangu kama namsaidia ndugu yangu na sidhani kama ingekuwa ni kitu kizuri kumuona mwenzako anaingia kwenye dhahama, kwenye tabu, kwenye mateso na wakati nina uwezo wa kumsaidia kwahiyo I just did what I had to do.”

Kuachiwa kwa Kajala kumepokelewa kwa furaha kubwa na mastaa mbalimbali nchini.

Cpwaa

So I hear Kajala is out! Good news..Hongereni sana wana BOngoMovies! Bongoflava tujipangeni..tutaendelea kupigwa bao kila siku while we are sitting on a Multi-Billion Industry, it’s time to stop fantasizing posing in front of camera poppin bottles of Champagne,Rented Fancy cars,Cheap Wardrobe n ( No..The Ladies are fine,I love them too sitaki ubaguzi)… Tufikirie kibiashara zaidi na sio sifa tu.

Rio Pol

It’s a blessed Monday I say this because finally someone stood up and did something right and righteous. I’ve worked in the entertainment industry for the past seven years and no star or their glam team or entourage would do what Miss Wema Abraham Sepetu did. Thank you god both my girls Elizabeth Michael and Kajala Masanja are free. God bless you wema.
Kajala akikumbatiana na ZamaradiKajala akikumbatiana na Zamaradi
Mboni Masimba
KAJALA outtttttttttt# Mungu mkubwa # WEMA mwokozi wa KAJALA # Mwenyez Mungu akuzdishie na akupe ulipo pungukiwa. Una moyo wa pekee. Lov u always my Dogo

Ben Pol ‏
Nimemvulia kofia Wema, ameni-inspire …moyo kama huo anao mtu mmoja Kati ya Milioni moja, watu hujifanya wakisikitika humu twitter tu…


Elizabeth Michael aka Lulu
Welcome back kay wangu…….Kajala wangu….mamy wangu

UNASHAURI KITU KAMA HIKI TUWEKE WAPI HAPA DAR ES SALAAM TANZANIA


HAKIKA TANZANIA TUNA VIPAJI TATIZO HII MICHEZO HAIPO OLMPIC



Hapa akipita kama mtu anaekatiza darajani lakin kumbuka ni juu ya kamba.
Msanii akicheza kiduku  juu ya kamba.

Hapa akipiga gwaride kama lile linalopigwa na kukaguliwa na raisi,,,,,,,This event happened at Lindi &Msimbazi street Kariakoo.


Miss Israel 2013.. First black woman to ever win the crown


miss-israel


February this year, Yityish Aynaw was crowned Miss Israel 2013. Yityish is the first ever black Miss Israel.
Advertisement
Yityish, 21, was born in Ethiopia and made aliyah (immigrated to Israel) with her family when she was 12. She served as an officer in the Israel Defense Forces.
There have been a differing opinion in USA’s black community on Miss Aynaw’s achievement. Some see it as a triumph in a country where black people are a minority, and a sign that racism is waning in many country. Some in black community have seen this differently. They think this is just a PR stunt by state of Israel to mask it’s horrific record on racism. They choose this black girl as a token so they can say “look! We have a black Miss Israel… We’re not racist!.” Below are some of the comments from black folks:
Maurice, at http://philly.barstoolsports.com writes: “Really, Israel? This is all you’ve got? You ain’t foolin’ anybody. Yityish Aynaw’s win wasn’t a legit victory. This was a fix to make yourselves look good to the rest of the world, Israel. No direct disrespect towards Yityish intended, I’m just sayin we all have eyes and can see clearly that she’s not the winner. The girl’s not UGLY or even close to it, she’s just not as hot as a national beauty contest winner needs to be. Admit it.”
Melodycool at http://www.eurweb.com writes: “Aynaw said she believes she received the exclusive invite to meet Obama because of their shared African heritage… This is true. It’s an attempt to say “we aren’t so bad after all” behind all the racism uncovered in that country. Ethiopians and other Blacks are treated horrendously there. It recently came to light Ethiopian women were given birth control injections without their consent, and a few years ago blood banks were actually discarding all blood from Blacks…and the list goes on and on.”
From lipstickalley.com: “Considering what I know about the way Israel has been treating the “Falashas” of Ethiopia, I feel some kind of way about this. I think that an Ethiopian Miss Israel was designed to deflect all of the misdeeds against this community in Israel. I’m not really excited about this “win”.
“Isra-Heil can’t fool anyone with this transparent PR move.”
“Israel forcibly sterilizes African immigrants.”
“Israel is racist against habesha. This was probably a public relations move for all the bad press they got for the following:
1. The sterilization story that come out about how Israel sterilized the Falasha Ethiopian immigrants.
2. Their deportation of black Africans in Israel and the building of a detention camp that will only hold Africans this year.
3. Discrimination against blacks on the regular and protests against Africans in Israel
4. Ethiopian Jews in Israel go through hell it’s not an easy life. They have highest suicide rate of any ethnic group in the entire country.
I’m not buying it.”
Yityish Aynaw won the crown Februay 2013 to become the first ever black Miss Israel
Yityish Aynaw won the crown Februay 2013 to become the first ever black Miss Israel
Yityish was invited to meet pres Obama when he went to israel this month
Yityish was invited to meet pres Obama when he went to israel this month
Looks like some lucky dude
Looks like some lucky dude
Yityish, when she was serving in Israel Defence Forces
Yityish, when she was serving in Israel Defence Forces
In a swimsuit, having fun at the beach
In a swimsuit, having fun at the beach

TQNZANIA NI SAMATTA SAMATTA KILA KONAA: TANZANIA 3-1 MORROCCO

Mbwana Samatha katikati wakishangalia bao
 Huyo ndio mchezaji ajulikanae kwa jina la Mbwana Samatha, Ndio Aliye ipatia Taifa Star Mabao wawili dhidi ya Morroco Leo ...Nakuweza kupata Ushindi wa Bao 3-1..Thomas anacheza Mpira wa kulipwa huko Kongo na Team ya TP Mazembe...Picha Zaidi Hizi Hapa Chini  katika Mapozi Mbali Mbali:
Mbwana Samatha

Mbwana Samatha Akimtoka Mchezaji wa Kameroon

Mbwana Samatha akishangilia Bao