HAKIKA TANZANIA TUNA VIPAJI TATIZO HII MICHEZO HAIPO OLMPIC



Hapa akipita kama mtu anaekatiza darajani lakin kumbuka ni juu ya kamba.
Msanii akicheza kiduku  juu ya kamba.

Hapa akipiga gwaride kama lile linalopigwa na kukaguliwa na raisi,,,,,,,This event happened at Lindi &Msimbazi street Kariakoo.