BREAKING NEWS: KANISA KATOLIKI LALIPULIWA NA BOMU JIJINI ARUSHA WAKATI MISA IKIENDELEA



Kanisa katoliki parokia ya Olasiti ambalo leo hii lilikuwa linapandishwa hadhi na kuwa Parokia limelipuliwa na kitu kinachosemekana kuwa ni bomu, watu wengi wamejeruhiwa na mtu mmoja inasemekana amefariki dunia.... ....



Tukio hilo limetokea wakati Misa ikiwa ndio inaanza .Ilikuwa ni saa 5 kamili...Kabla Askofu hajaanzisha sala , mlipuko mkubwa ulitokea ndani ya kanisa hilo......


Mgeni rasmi katika hafla hiyo alikuwa ni balozi wa Vatican nchini Tanzania. ...

Habari zaidi zinakuja