HUYU NDO ASKOFU"BALOZI WA PAPA ALIYEKUSUDIWA KULIPULIWA NA BOMU ARUSHA

Mhashamu Askofu Fransisco Padila, balozi wa Papa aliyekuwa akiendesha ibada ya Uzinduzi wa Parokia ya Mt Joseph Mfanyakazi ya Olasiti Arusha akiondoshwa chini ya ulinzi mkali kutoka eneo mlipuko ulipotokea na kua na kujeruhi zaidi ya watu 70 jana wakati ibada ikiendelea. Kinachodhaniwa kuwa bomu kilirushwa kikiwa kwenye mfuko wa rambo na kisha kulipuka, wakati huo Balozi wa Papa alikuwa anajiandaa kukat utepe kufanya uzinduzi.