PICHA NA MATUKIO MBALIMBALI KANISA LILILOLIPULIWA NA BOMU ARUSHA

eneo lenye utepe ndipo kinachohisiwa kuwa bomu ndipo kilipotua na kulipuka katika Kanisa la Mt Joseph Olasiti Arusha ambapo Balozi wa Papa alikuwa akihudhuria ibada ya Kuzindua Parokia kanisani hapoMungu uwe upande wetu
Umati wa wakazi wa Arusha wakielekea eneo la tukio kujua hali za ndugu zako