RUGE:MARUFUKU KUPIGA BONGO FLEVA LEO CLOUDS FM

Kasema hivyo baada yakuzungumzia ishu ya Jide na Clouds na kusema ina maamuzi yake na mfano ni leo hakuna kupiga nyimbo za Bongo Flava, kwamba Clouds ina maamuzi binafsi Kwasababu ni redio binafsi so kutopiga nyimbo za Jide ni maamuzi pia...Pia ameongelea kuwa kinacho mfanya lady jay dee Awashutumu ni maswala binafsi tu ikiwemo Band ya Skylight inayomilikiwa na mtangazaji wa Clouds FM kupata umaarufu mkubwa kwa sasa kuliko Band yake ya Machozi Band...So kumfanya Lady Jay Dee kuweweseka,.

Unaweza Kusikiliza mazungumzo hayo hapa chini: