PICHA:MAPOKEZI YA DR KAFUMU IGUNGA LEO


Mbunge wa jimbo la Igunga aliyerejeshwa na mahakama kuu Dk Peter Kafumu akizungumza na wana Igunga mara baada ya kuwasili mjini humo leo kuwashukuru wananchi na wapiga kura wake kwa kuwa naye bega kwa bega katika matatizo hayo, Mkutano huo umefanyika kwenye uwanja wa Sokoine mjini Igunga ukiongozwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri kuu ya CCM Ndugu Nape Nnauye, amesema anaomba ushirikiano kwa kila mwana Iguna bila kujali itikadi za vyama vya siasa. 
 5
Mbuge wa Jimbo la Igunga Dk Peter Kafumu akihutubia mkutano wa hadhari mjini Igunga leo kulia ni Nape Nnauye Katibu wa Itikadi na Uenezi NEC 6
Maelefu ya wana Igunga wakiwa katika mkutano huo leo



Wananchi wa Igunga wakipmokea  mbunge wao kwa mabango yenye ujumbe wa kumkaribisha jimboni mwake
 3
Dk Peter Kafumu akivishwa shada la maua mara baada ya kuwasili mjini Igunga leo