P.FUNK:MWAMBIE KUSAGA KUANZIA LEO SITAKI KUSIKIA MIKASI IKIPIGWA CLOUDS FM


Muda mfupi uliopita djchoka amepokea simu kutoka kwa Producer mkongwe hapa bongo anayejulikana kwa jina la P Fuck Majani na kumuuomba aipokee msg hii hapa chini na kuwaomba watanzania walijue hili na baadae atatoa barua rasmi.