PICHA ZA MBUNGE MSIGWA ALIVYOFIKISHWA MAHAKAMANI IRINGA MCHANA




Mbunge Msigwa akishuka katika gari ya polisi baada ya kufikishwa mahakamani mchana huu



Mbunge Msigwa akishuka katika gari hilo la polisi tayari kwa kuelekea chumba cha mahakama



Mbunge Msigwa akiwa na gazeti mkononi baada ya kufikishwa mahakamani leo



Watuhumiwa wengine wa vurugu za machinga na polisi wakishuka katika karandinga la polisi










Wakili wa Msigwa kulia akiteta jambo nje ya mahakama



Kada wa Chadema Frank Mwaisumbe akiingia na viongozi wengine wa chadema mahakamani hapo huku wafuasi wao wakizuiwa nje ya mahakama



Wafuasi wa Chadema wakiwa wamezuiliwa nje ya viwanja vya mahakama kuu kanda ya Iringa wakati mbunge alipofikishwa katika mahakamani mchana huu



Ulinzi mkali kweli kweli ..NA FRANCIS GODWIN